News

“Walitaka kunipiga risasi” – Nduru man narrates his encounter with State House GSU officers

After yelling at the state house, content creator Ian Asunya, also known as Nduru Man, he has come out to narrate his experience with the GSU officers.

The young man recently performed his yelling antics in front of the state house without worrying about security personnel.

His most recent video was when he visited State House and screamed several times despite the presence of security officers.

In an interview with Mpasho, Nduru Man said making the video was not simple as he faced the wrath of the Administration Police manning the main entrance.

He also explained how he came up with the idea of screaming at State House.

“Hiyo si script, hiyo si kuact, me hukua mtu wa deliveries tao na hiyo siku nilikua nimetumwa hizo sides za State House nikaona opportunity; nijaribu ama nisijaribu although haikua rahisi

“Nilikua nimeshafikisha mzigo na nimelipwa nikaamua kurecord video. Nilienda hivyo direct na nikarecord video lakini kidogo nikashikwa,” Nduru Man explained.

Following his arrest, Nduru Man says he was taken to a secluded place where he was interrogated by a senior officer.

The content creator said he was lucky to have carried a certificate of good conduct which he said saved him from further action.

“The good thing hiyo day nilitembea na good conduct; me hutembea na good conduct daily ju naweza record videos mahali hazifai lakini nikitoa good conduct at least wanaona mimi ni mtu mzuri,” Nduru Man said.

Adding; “Walichukua good conduct wakaona kila kitu iko sawa but at the end of it mkubwa wao akakuja but nilikua nasmile mpaka wanashangaa hii confidence niko nayo… Mtu hawezi kuja State House tu hivo.”

The content creator said he was under the custody of the security officers for more than an hour before he was finally let go.

“Tulikaa hapo for like one hour alafu wakaamua kuniacha tu. Video walikua washadelete lakini simu, technology unarestore back,” he said.

On where he gets the guts to randomly scream in public, the TikToker said it is natural, adding that most of the times, he finds himself screaming.

“Inakuanga tu natural, huwezi sema inatoka kwa mtu yeyote. Hiyo ni natural tu unaamua unafanya kitu. Ni kitu iko tu ndani yangu, siogopangi kufanya kitu flani. At the end of it all I believe in destiny. Kama kitu mbaya ilikua ifanyike itafanyika tu,” he said.

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button